Inama Lyrics by Zuchu Feat. Diamond Platnumz

1 month ago 97

Zuchu and Diamond Platnumz Lyrics

Inama, Zuchu's newest song, with Diamond Platnumz, is simply a collaboration that promises to get you moving, work the lyrics and sing along.

Cover creation  for Inama by Zuchu featuring Diamond PlatnumzInama Cover Art

Zuchu & Diamond Platnumz - Inama Lyrics

Gogu!
Maga
Ni Zuchu
Chu chu chu
Lizer classic

Waiteni wambea
Wa kusini na mashariki
Waje kuona
Bado niko nawee!
Waliongea, eti mbali si hatufiki
Ikiwachoma, wakameze mawe
Kwako chonjo (chonjo)
Mi naona kengeza
Yaani uhondo, unavyonikoleza…
Wanatapika nyongo
Penzi Hawajaliweza
Nakusifu kibongo
Nakusifu kingereza

Muchuchu muchuchu
Shweet shweet banana
Punga mkono juu
Nakuomba babay simama
Leo yako sikukuu
Nikupakulie minyama
Upite na huku
Wasokupenda uwakere sana
Uniijie kwa mbwembwe

Unainama, waonyeshe
Unainuka (mama), unaigusa
Afu kama unashuka
Iongezee na njonjo
Unainama, ah! Madegezyee!
Unainuka (ai we! we! we!)
Unaigusa (agha!)
Afu kama unashuka

Oh! babe A, E, I
Malizia O, U
Eh! Mwenzio pwa, pwe mi, boya tuuu
I cognize you emotion me, I emotion you, too
Nisipokuona ta, te, ti, presha juu
Nimegundua, kwanini wananuna
Ma-ex zako, nakunichukia
Maana unajua, aapi pa kukuna
Kwa kazi yako, unanipatia

Muchuchu muchuchu
Shweet shweet banana
Punga mkono juu
Nakuomba babay simama
Leo yako sikukuu
Nakupakulia minyama
Ebu njoo.. Kwa huku
Ringa jishaue bana
Tena ntilie mimbwembwe

Unainama, eh! Nikomeshe
Unainuka (mama), unaigusa
Afu kama unashuka
Iongezee na njonjo
Unainama, ah! Madegezyee!
Unainuka (ai we! we! we!)
Unaigusa (agha!)
Afu kama unashuka

Check Lyrics of latest songs here, and get caller updates arsenic they driblet via X and Facebook Read Entire Article